• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Mradi wa kawi wa nchi tatu wazinduliwa Kagera

    (GMT+08:00) 2017-03-30 18:57:07
    Mawaziri watau wa Tanzania, Rwanda na Burundi leo wamehudhuria hafla ya pamoja na uzinduzi wa ujenzi wa mradi wa kuzalisha umeme wa maji wa megawati 80 katika eneo la Rusumo katika Mto Kagera.

    Waziri wa Nishati na Madini,wa Tanzania Profesa Sospeter Muhongo aliunga na wenzake kuzindua mradi huo

    katika maporomoko ya maji ya Rusumo utakaonufaisha nchi hizo tatu.

    Ujenzi wa mtambo wa kuzalisha umeme unagharimiwa na Benki ya Dunia ilhali ujenzi wa njia ya umeme kuunganisha katika Gridi za Taifa za nchi hizo tatu unafadhiliwa na Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na waandalizi wa uzinduzi huo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako