• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Watu 10 wauawa katika shambulizi dhidi ya naibu mwenyekiti wa bunge kusini magharibi mwa Pakistan

    (GMT+08:00) 2017-05-12 19:15:52

    Watu 10 wameuawa na wengine 30 kujeruhiwa akiwemo naibu mwenyekiti wa baraza la seneti la bunge la Pakistan baada ya msafara wake kushambuliwa katika wilaya ya Mastung mkoa wa Balochistan, kusini magharibi mwa Pakistan leo mchana.

    Naibu mkuu wa polisi wa wilaya ya Mastung Ghazanfar Ali amesema, inaaminika kuwa shambulizi hilo huenda limefanywa na mshambuliaji wa kujitoa muhanga, hata hivyo, uchunguzi zaidi bado unaendelea ili kujua chanzo cha tukio hilo.

    Mpaka sasa hakuna kundi lililokiri kuhusika na shambulizi hilo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako