Nayo timu nyingine kutoka Kenya, Equity Bank, inashuka uwanjani leo mjini Luanda kupambana na mabingwa watetezi wa michuano hiyo Primero De Agosto ya Angola.
Washindi katika mechi hizo mbili watakutana kesho kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali utakaopigwa kesho.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |