Mpaka sasa ametumia saa 11 na dakika 15 kuendesha baiskeli katika umbali wa kilomita 516.
Kwenye mbio za jana, zenye umbali wa kilomita 121 kuanzia Mji wa Musanze hadi Nyamata mshindi aliibuka Eyob Mektel wa Eritrea.
leo ni siku ya tano ambapo nyota hao watachuana umbali wa kilomita 93 kuanzia mjini Nyamata hadi Rwamagana.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |