• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Msimu mpya wa mashindano kuanza rasmi kesho mjini Kigali kwa mbio za kwanza

    (GMT+08:00) 2018-03-23 09:11:16

    Msimu wa mashindano ya mbio za baiskeli unaanza rasmi kesho machi 24, kwa michuano ya kwanza kati ya 11 kwa mujibu wa kalenda ya mashindano ya mwaka huu ya shirikisho la mchezo wa mbio baiskeli FERWACY.

    Katika mbio hizo za jumamosi waendesha baiskeli watashindana umbali wa kilomita 120 kuanzia mjini Kigali hadi mji wa Huye.

    Bingwa mtetezi katika mbio hizo za kwanza ni Jean Bosco Nsengimana, ambaye anatazamiwa kutetea taji lake mbele ya nyota wengine.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako