• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya

  • • "Hadithi kati yangu na Afrika" yaonesha ushirikiano wa kirafiki kati ya China na Afrika katika kipindi kipya
    More>>
    Habari
    • Uzoefu wangu Malawi ulikuwa kama mafunzo ya kiroho

    Ili kutimiza ndoto yangu na kufika mbali zaidi, niliondoka nyumbani na na kuagana na wazazi na marafiki zangu, na kufunga safari tena ya kwenda mbali ambako sijawahi kufika. Kama nikisema kuchagua kwenda Afrika ni kuiga mifano ya Meryl Streep na Audrey Hepburn, basi kuichagua Malawi ni kama hatma yangu, ambako nitaona mandhari nilizoandikiwa kuziona, na kukutana na watu nilioandikiwa kuwakuta.

    • Uokoaji wa Wanyamapori

    Nairobi ilikuwa kituo changu cha kwanza cha kazi barani Afrika. Mandhari safi ya kimaumbile, ndege wenye rangi mbalimbali na tumbili wanaoiba matunda kwenye soko la matunda na mbogo pamoja na majengo marefu yalinipa kumbukumbu nyingi. Mchanganyiko wa mambo ya kisasa na mazingira ya kimaumbile ilikuwa chanzo cha mimi kuupenda mji huo.

    • Sarakasi yaeneza urafiki

    Nikiwa mkalimani, nilikwenda Khartoum, mji mkuu wa Sudan kwa ndege pamoja na kikundi cha ujumbe wa sarakasi kutoka Wuhan, na wanafunzi wa sarakasi wa Sudan.

    • Mwanga wa jua wa China unaokuwepo kwenye msitu wa kahawa wa Ethiopia---Hadithi yangu niliyokuwepo Afrika

    Jina langu ni Li Lin, niliwahi kufanya kazi katika kampuni moja ya China mwaka 2013. Katika mwaka ule, nilipata fursa ya kwanza ya kuitembelea Ethiopia, nchi yenye utajiri mkubwa wa maliasili, na mustakbali mzuri wa maendeleo ya uchumi. Nilifurahia sana safari yangu hiyo barani Afrika, licha ya kutembelea Ethiopia, pia nilitaka kutafuta fursa za biashara kwenye sekta ya kilimo.

    • Uzoefu wangu barani Afrika-Zhang Yong

    Nilihitimu masomo ya chuo kikuu mwezi wa Julai, mwaka 2012, nikiwa na umri wa miaka 24, na kuajiriwa na kampuni ya kimataifa ya ushirikiano wa teknolojia na uchumi ya Liaoning. Mwishoni mwa mwezi wa Agosti, nilitumwa barani Afrika kutekeleza mradi wa msaada wa teknolojia ya kilimo wa kampuni yangu. Nilifurahi kupata habari hiyo, lakini pia nilikuwa na wasiwasi. Nilijua kuwa hii ni fursa nzuri na pia ni changamoto kubwa. Mpaka sasa nimefanya kazi barani Afrika kwa miaka mitano, na nina mengi ya kukumbuka..

    More>>
    Picha

    • Peponi mwa tembo

    • Makazi

    • Pole na furaha

    • Sikukuu yenye rangi

    • Kufurahia kazi

    • Asili
    More>>
    Hafla ya kutoa tuzo kwa washindi
    • "Hadithi kati yangu na Afrika" yaonesha ushirikiano wa kirafiki kati ya China na Afrika katika kipindi kipya 2018-05-24
    Sherehe ya utoaji wa tuzo ya Mashindano kupitia mtandao wa Internet kuhusu "Hadithi kati yangu na Afrika" imefanyika leo hapa Beijing na kuwashirikisha watu takriban 200 wakiwemo watu waliopewa tuzo, mabalozi wa nchi mbalimbali za Afrika nchini China, pamoja na wanadiplomasia na wajumbe kutoka elimu na viwanda.
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako