Kampuni binafsi ya anga za juu ya Marekani Space X imerusha saitelati mbili za kuchunguza ardhi kwa ajili ya Shirika la anga za juu la Marekani NASA, na satelaiti tano za mawasiliano kwa ajili ya kampuni ya Iridium, kwa kutumia roketi iliyotumika aina ya Falcon 9 mapema jana. Satelaiti zote saba zimefikishwa kwenye njia zao kama ilivyopangwa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |