Wachezaji wote waliosajiliwa msimu huu watasafiri kwa ajili ya kambi hiyo, na ikiwa huko, Simba itacheza mechi kadhaa za kirafiki za kujipima nguvu.
Kocha mpya wa klabu hiyo Mbelgiji Patrick Winand J. Aussems ataanza kazi ya kuifua klabu hiyo huko.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |