• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • TRA yasisitiza mashirika kuondolewa rejesho la VAT

    (GMT+08:00) 2018-09-21 20:35:43

    Mamlaka ya mapato Tanzania imesema kuanzia Julai mwaka huu mashirika na taasisi zisizo za kiserikali zilizokuwa zinajiendesha bila faida hazitapata tena rejesho la kodi ya ongezeko la thamani ambayo walilipa wakati wakiendesha mashirika hayo.Meneja wa Elimu kwa mlipakodi wa TRA Bi Diana Msala amesema lengo lilikuwa ni kusahihisha makosa yaliyokuwa yamejitokeza hapo nyuma ambapo imebainika kuna baadhi ya mashirika na taasisi ambazo zinakwenda kinyume na taratibu ikiwemo walengwa wanaokusudiwa kutofaidika.Aidha amesema TRA kwa kushirikiana na taasisi ya ukuzaji mitaala wako katika utaratibu wa kuandaa mitaala ili elimu ya kodi ianze kufundishwa kuanzia ngazi ya elimu ya msingi.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako