Wabunge hao kutoka mirengo ya Jubilee na NASA walisusia mikutano iliyoitwa na viongozi wao ili kuwashawishi kuunga mkono suala hilo pamoja na kupunguzwa kwa bajeti za bunge na hazina ya maendeleo katika maeneo bunge (CDF).
Baadhi ya wabunge walisema wanamuunga mkono Rais Uhuru Kenyatta kuhusiana na ajenda zingine muhimu kama vita dhidi ya ufisadi anapinga vikali ushuru wa VAT kwa bidhaa za mafuta.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |