Kujiuzulu kwa Haile Gebrselassie bila kutarajia mwanzoni mwa wiki hii kumejiri baada ya maandamano yaliyokuwa yakishutumu vifaa duni vya mafunzo katika mkoa wa Oromia, mahali ambako kunatajwa kuwa makao ya wanariadha nguli kutoka nchini Ethiopia.
kamati ya shirikisho hilo ilimteua kuwa rais wa mpito mpaka hapo mkutano wa dharula utakapoitishwa katika miezi ijayo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |