Michuano ya kufuzu inatarajiwa kufanyika mwezi ujao mjini Hong Kong ambapo mshindi atajikatia tiketi ya kujumuishwa katika duru zote za msimu 2019/2020.
Kenya itakuwa ikijaribu bahati tena ya kufuzu michuano ya raga ya duniani baada ya kutolewa na Afrika Kusini katika nusu fainali mwaka jana.
Kundi A lina ti u za Japan, Ubelgiji, Scotland na Mexico ambapo kundi C linajumuisha Brazil, Argentina, Kazakhstan na Poland.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |