• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • KIKAPU: Fainali za kanda ligi ya NBA- Raptors wapoteana mwishoni na kukubali kipigo toka kwa Bucks

    (GMT+08:00) 2019-05-17 09:57:17

    Licha ya kuongoza kwa muda mrefu na kuwatawala kwenye robo tatu ya kwanza, Toronto Raptors jana wamejikuta wakipigwa na Milwaukee Bucks kwenye mchezo wa kwanza wa fainali ya kanda wa mashariki.

    Baada ya kuipeleka fainali ya ukanda wa Mashariki kwa kufunga kikapu cha sekunde ya mwisho mchezo was aba dhid ya Philadelphia 76ers, kocha wa Raptors Leonard Kawhi ameshuhudia timu yake ikipoteza mchezo huo huku Kyle Lowry akiwa na mchezo bora zaidi kwa kufunga jumla ya alama 30.

    Ukanda wa magharibi, Golden State Warriors wao baada ya kuwa na kazi pevu ya kuwaondoa wapinzani wao wakubwa Houston Rockets wanacheza fainali ya nne mfululizo ukanda huo na watakutana na Portland Trail Blazers ambayo imefika fainali hizo kwa kuwaondoa Denver Nuggets.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako