• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Watu 83 wauawa katika siku mbili zilizopita nchini Yemen

    (GMT+08:00) 2019-05-17 10:37:08

    Watu 83 wameuawa, wengi wao wakiwa wapiganaji wa Houthi katika saa 48 zilizopita kufuatia mapambano na mashambulizi makali ya anga kuendelea katika maeneo mengi nchini Yemen. Watu wa Yemen walitarajia kuwa kujitoa kwa kundi la Houthi kwenye bandari tatu muhimu katika mji wa bandari wa kimkakati wa Hodeidah chini ya makubaliano ya amani yaliyopatanishwa na Umoja wa Mataifa kunaweza kupunguza makali ya mapambano, lakini mashambulizi mapya ya ndege zisizo na rubani dhidi ya vifaa vya mafuta ghafi vya Saudi Arabia yamesababisha matokeo tofauti.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako