Odera amefanya badiliko moja pekee katika kikosi chake ambacho kimepata kupumua baada ya nyota Andrew Siminyu, Jeff Mutuku na Douglas Kahuri kupona majeraha waliyoyapata na kurejea kuitumikia timu hiyo ya Kenya.
Washindi wa makundi yote mawili watakabiliana katika fainali Julai 21 kuamua timu itakayopandishwa ngazi kushiriki raga ya dunia ya daraja ya juu kabisa (JWC) mwaka 2020.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |