Mchezo mwingine wa robo fainali utapigwa leo kati ya wenyeji APR ya Rwanda na Maniema Union ya DR Congo. Azam ya Tanzania ambao ni mabingwa watetezi tayari wameshajikatia tiketi ya kucheza nusu fainali ya michuano hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |