• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • SOKA: Kombe la Kagame-hatua ya robo fainali: Gor Mahia yachezea kichapo

    (GMT+08:00) 2019-07-18 09:24:20
    Wakati mechi za nusu fainali zitapigwa kesho Ijumaa huku fainali ikitandazwa Julai 21 nchini Rwanda. Jana kulipigwa mechi ya pili ya robo fainali kati ya Gor Mahia ya Kenya dhidi ya Green Eagles ya Zambia, hadi mwisho wa mchezo, Green Eagles imeipa kichapo Gor Mahia kwa magoli 2-1.

    Mchezo mwingine wa robo fainali utapigwa leo kati ya wenyeji APR ya Rwanda na Maniema Union ya DR Congo. Azam ya Tanzania ambao ni mabingwa watetezi tayari wameshajikatia tiketi ya kucheza nusu fainali ya michuano hiyo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako