Licha ya ofa hizo mbili kwa nyota huyo wa Taifa la England ambaye alikuwa sehemu ya kikosi kilichocheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Sculthorpe siku ya Jumanne na waliibuka na ushindi wa bao 1-0.
Maguire amezivutia timu nyingi kubwa ikiwa ni pamoja na Manchester United na Manchester City ambao walikuwa wanahitaji huduma yake kwa dau la thamani ya pauni milioni 90.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |