Katika mchezo huo wachezaji huvaa mikanda maalumu na vitamba vya kujifunika na wanasukuma mpira kwa viuno vyao. Mpira unatajwa kuweza kuwa na uzito wa hadi kilo 4 na inaaminika kuwa kuna aina tofauti za mchezo huo na mara nyingi ilidhaniwa ulihusisha timu hasimu zikikabiliana ana kwa ana.
Emmanuel Kakaloti mkufunzi wa mchezo huo amesema Ulama ulisahaulika na kuachwa kuchezwa lakini sasa wanaurudisha na kutakuwa na timu ya wanawake.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |