Akizungumza mara baada ya kuwasili, kocha mkuu wa timu hiyo George Lwandamina ambaye aliwahi kuifundisha Yanga amesema, wako tayari kukutana na Yanga lakini amethibitisha kwamba hakupoteza muda wa kutafuta mikanda ya wapinzani wao ili aangalie. Amebainisha kuwa, kikosi alichoenda nacho anaamini kitampa matokeo mazuri.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |