• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kipindi maalum cha kujadili changamoto ya virusi vya Corona katika Siku ya Qingming
    Habari
    v China yawaunga mkono zaidi wahudumu wa afya wa kike wanaopambana na mlipuko wa korona
    v China yasema athari ya maambukizi ya virusi vya korona kwa biashara ya kigeni ni ya muda
    v Uhusiano kati ya China na nchi za ASEAN waimarika zaidi kwa kupambana na virusi vya Korona kwa pamoja
    v Kamati Kuu ya Ukaguzi wa Nidhamu ya CPC yasisitiza usimamizi wa kazi ya kudhibiti maambukizi ya virusi
    v China yaongeza kasi ya kugundua chanjo dhidi ya virusi vya korona
    More>>
    Maelezo
    v Rais wa Marekani atangaza mpango wa kufufua uchumi kutokana na idadi kubwa ya watu waliopunguzwa kazini

    Hadi kufikia mwishoni mwa mwezi Aprili idadi ya watu walioambukizwa virusi vya Corona nchini Marekani imezidi laki 8.6, idadi ya vifo imezidi elfu 49.

    v Sayansi na teknolojia zachangia sana udhibiti wa virusi vya Corona
    Serikali ya Kenya inatumia simu za mikononi kuwafuatilia wagonjwa wanaoshukiwa kuambukizwa virusi vya Corona. Ofisa mwandamizi wa nchi hiyo amesema ufuatiliaji wa simu za mikononi unaanza mara moja baada ya mtu kutambuliwa kuwa na hatari ya kuambukizwa na virusi vya Corona na unaendelea hadi hatari hii itakapoondolewa.
    v Maelewano na ushirikiano wa wananchi wa China vyaweka msingi thabiti kwa kushinda mapambano dhidi ya virusi vya Corona

    Katika mapambano magumu dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona, ili kuzuia kwa kiasi kikubwa ugonjwa huo, serikali ya China imekuwa ikitoa wito kwa wananchi kujilinda, na kupunguza safari zisizo za lazima. Ingawa janga hili lilitokea wakati wa sikukuu ya mwaka mpya wa jadi wa China, ambapo ni wakati muhimu kwa familia za wachina kujumuika na kusherehekea kwa pamoja, lakini ni wajibu kwa wananchi kufuata maagizo ya kujikinga, na kufahamu umuhimu wa "kukaa nyumbani vilevile ni kutoa mchango". Wananchi wa China wanafahamu vizuri kuwa kushinda mapambano dhidi ya ugonjwa huo kunategemea nidhamu na kufuata maagizo.

    More>>
    Picha

    Kipindi maalum cha kujadili changamoto ya virusi vya Corona katika Siku ya Qingming

    Balozi wa China nchini Afrika Kusini asema Marekani haina uwezo wa kupambana na virusi vya korona kama inavyofanya China

    Hali ya udhibiti wa nimonia ya COVID-19 mkoani Hubei yaboreka

    WHO yasema China inajitihadi kutibu wagonjwa wa COVID-19

    WHO yasema waraka wa China ni muhimu katika kuwezesha Shirika hilo kutoa ushauri

    Balozi wa Tanzania nchini China aiunga mkono China kupambana na virusi vya Korona
    More>>
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako