Wasafiri wote walioathirika wameombwa kukatiz asafari zao hadi mamabo yatakapotulia. Haya yanajiri siku mbili baada ya Uganda kutangaza kisa cha kwanza cha corona, ambaye ni mwanaume aliyewasili nchini Uganda akitokea Dubai.
Ni hatua ambayo pia imechukuliwa na serikali ya Kenya. Hapo jana, waziri wa Afya Mutahi Kagwe alitangaza kwamba Kenya haitaruhusu safari zozote za ndege kuanzia siku ya Jumatano wiki hii.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |